UNALIJUA HILI/ DID YOU KNOW THIS?

HAYA BHAAAAANA PIA TULIENDA KUMUAGA MAMA WA MERU!!

hapa wadau wakimuaga kwa picha ya pamoja mama yetu wa hiyari wa huko meru.............
wifi yenu au shemeji yenu huyo hapo.....................
hapa mdau akishuka kilima........................
hapa akipanda kilima na chini mdau katika picha ya pamoja na mama....................
hii ni njia ielekeayo meru kuna vilima na miteremko si mchezo.......
hii ni njia ielekeayo meru full vilima na miteremko si mchezo, hapa mdau anashuka..........

SHINE NA CAMERA YA DOGO JOHNSON!!!

Mwanaharakati wa kitambo dogo johnson katika pozi...................
vinega unit tuliohitimu tukiwa na baba mwenye nyumba wa kwanza kushoto na mwenye shat jekundu ni dogo wa first year...............................
hapa ni mt. meru maeneo ya nkoaranga wadau wanapunga upepo..........................
kama kawa nipo na shemeji zangu.......................

BAADA YA KUTUNUKIWA MZIGO ULIAMIA ROTADARM PANDE ZA USA - RIVER ARUSHA!!!

Hapa juu nipo na shemeji zangu.....................

shemeji yenu kushoto yupo na wifi yake da libanda.....................
mambo ya cheeers yalifuata........................

pongezi hazikua mbali nazo tiiiiii.........................

ILI KUWA RAHA SI KITOTO!!


JUU mdau nipo na shemeji yenu..........yeye ana digree ya sheria........

hapa nipo na shemeji zangu na shemeji yenu..........

mabroo nao waliwakilisha na shemej yangu huyo pemben...........

hawa ni wahitimu wa digrii ya sheria Tumaini University Makumira........

duh!! washikaji hawaji tuuuuuuuu.........!!!!

ASIKUAMBIE MTU GRADUATION IN RAHA YAKE BHAAANA!!!

Juu mdau katikati tukiwa na mchina kushoto na shemeji yenu kulia tukifurahia digrii zetu....
picha ya pamoja kama hivyo baada ya sherehe ya kupongezwa......

wadau kama kawa........
hahahahahaha ni furaha tu........

SHOW LOVE TO EACH OTHER!

Mdau mkuu nipo na shemeji yenu juu ya ngamia....Jina lake sipo radhi kumtaja kwa sasa ila jueni ni shemeji yenu tu, One love...!!!

MH!! MAMBO YA KARATE HAYO MAKUMIRA UNIVERSITY!!

Mzigo ulikuwa kipande cha jmos tar. 18 wadau makumira karate walionesha show moja kali pichani ni Innocent llb3 na mdauTuguse uone moto wetu ulivyo.......
picha kwa hisani ya albam ya real coca face book

BARAZA LA MAWAZIRI MAKUMIRA UNIVERSITY 2011/2012

THE TUMAINI UNIVERSITY STUDENTS ORGANIZATION OF MAKUMIRA UNIVERSITY COLLEGE [TUSO-MUCO] GOVERNMENT 2011-2012 FROM PRESIDENT'S OFFICE

PRESIDENT: BERNARD ADAM
Vice President: Agnes R. Kiwelu
Prime Minister: Andrew Mabala

MINISTERS

Finance and project planning: Herman Kiporoza [minisster]
Dickson M. Hezron [diputy]

Education: Elinipendo Kalisha [minister]
Sabrina B. Kalema [diputy]
THadeous A. Ketto [diputy]

Student's Loan: Aman Msumari [minister]
Elizabeth Luomba [diputy]

Health, environment&social affairs: Jackson Irira [minister]
Monica Mbilu [diputy]
Magreth Lyatuu [diputy]

Sports, culture & entertainent: Winfrid Kanuma [minister]
Anna A. Ombay [diputy]
Hilda Ruban [diputy]

Information: Davis Phares [minister]
Omben F. Mlagale [diputy]

Law & constitution: Gabriel Wasato [minister]
Goodselda Kalumuna [diputy]

Accomodtion: Rosemary D. gigah [minister]
Deogratias Mitima [diputy]

Defence & SEcurity: Elipokea Zephania [minister]
Simon Kitulanya [diputy]

Taarifa kutoka wizara ya Mawasiliano TUSO-MUCO

SIYO MBAYA TUKIJIKUMBUSHA ZILIPENDWA.

Hapa dogo Johnson akiwa na mmoja wa mawaziri wa serikali ya wanafunzi ya TUSOMUCO iliyomaliza muda wake, huyu alikuwa waziri wa habari na mawasiliano anaitwa Mch. Komba BD3 wakifuatilia moja ya mechi za mpira wa miguu chuoni hapo.

COMMEMORATING THE GENOCIDE OF KIMBARI-RWANDA

Siku hii ilikuwa ni siku ya uzuni kubwa sana kwa wenzetu wanyarwanda manake walikuwa wanakumbuka mauaji ya kikabila yaliyotokea huko nchini kwao Rwanda ila kwa hapa Tanzania nasi tuliwaunga mkono kupinga mauaji hayo yasitokee tena. hawa ni baadhi tu ya wanafunzi wa chuo kikuu cha makumira wakiwa katika maandamano ya kupinga mauaji ya Kimbari.....
Jembe la blog hii nilikuwa mmoja wao nikitoa ishala ya peace yaani amani kwa wote siku hiyo

Noel mwenye blue shirt na wenzake wakinyanyua juu bango hilo kama linavyosomeka hapo juu

hawa ni wanafunzi wa mwaka wa tatu makumira university wakipozi kwa picha ya kumbukumbu baada ya kutoka nje ya ukumbi mkubwa wa simba uliopo ndani ya AICC Arusha siku hiyo



wadau wakiendelea kutembea kama kawa siku hiyo kupinga mauaji hayo.

MAKUMIRA UNIVERSITY WAONGOZA KWA STUDY TOUR!

Hawa ni baadhi ya wanafunzi wa chuo kikuu cha makumira wakiwa katika mbuga ya Arusha...

mpango mzima uliwezeshwa na Elisante Kifumu wa tatu kutoka kushoto mwenye t-shirt nyekundu pamoja na chura wa kwanza kushoto.


hapa ni maarufu kwa jina la water falls ni pazuri kwa kupigia picha namna hii.


MAKUMIRA UNIVERSITY LADIES TEAM!!

Hiki ndicho kikosi kazi kinachokimbiza pande za Arachuga kwa sasa kwa upande wa mpira netball, hawa madada ni baraha...


hapa wakiwa katika picha ya pamoja na kocha wao wa pili kushoto waliochuchumaa.


hapa wakila pozi


mazoezi binafsi kabla ya kuwavaa Mt. Meru university.



maelekezo kwanza kabla ya mpambano kutoka kwa captain Grace.

HIZI NI SWAGA TU ZA HUKO MBEYA CITY!!

Huyu ni mdau wangu wa huko mbeya city juz tu alinitumia picha hii akiwa katika poz kwa jina anaitwa Ivan

HARUSI YA KIFAHARI YA PRINCE WILLIAM NA MKEWE CATHERINE!!

Sherehe ya harusi ya kifahari ambayo haija wai kutokea katika miaka ya karibuni hapani Prince William na mkewe Catherine ndoa yao ilifungwa jana katiaka kanisa la wester minister, london Uingereza.....

huyu ni mama wa bi harusi catherine mke wa Prince william akipungia umati wa watu uliokusanyika mahari hapo...
Beckham na mkewe Victoria walikua kama wageni waalikwa, hapa wakiwasili eneo la tukio.....

Sir Elton John (shoga) akiwasili eneo la tukio akiwa na mume wake David Furnish........

wenzangu mimi walibaki makwao wakishuhudia kupitia luninga.....

hawa ni wakazi wa miami nchini Marekani.


USIOMBE UKAOA BINTI MZURI, ALIYESOMA LAKINI HAJUI KUPENDA!!

Mpenzi msomaji wangu, naamini wapo walioshituka kuona kichwa cha habari hicho hapo juu lakini ni ukweli usiofichika ambao leo nimelazimika kuuandika ili wanaume wenzangu wanaotaka kuingia katika maisha ya ndoa wawe makini katika kuchagua wenza sahihi.


Huko nyuma ukimuuliza mwanaume aina ya mwanamke anayetaka kumuoa, kigezo cha kwanza atakuambia lazima awe mzuri. Uzuri unaozungumziwa hapa ni wa sura na umbo. Hilo halina ubishi kwa kuwa, kila mmoja anataka kitu kizuri, kila mmoja anataka kuwa na mke ambaye akipita naye mbele za watu kila mmoja atatingisha kichwa ikiwa ni ishara ya kumkubali.


Kigezo kingine mwanaume atakuambia anataka kuoa mwanamke anayefanya kazi. Ukiuliza kwa nini, atakuambia ili wasaidiane katika kuyaendesha maisha yao. Hili nalo ni sahihi kabisa kwa sababu maisha ya sasa ni magumu, kusaidiana katika masuala ya kifedha kuna umuhimu wake.


Lakini sasa, ninachotaka kuwatahadharisha wanaume wenzangu ni kutoangalia vigezo hivyo viwili tu kisha wakaingia katika maisha ya ndoa, hakika watajuta.Nasema hivyo kwa sababu, hakuna wasichana wanaowaumiza vichwa wapenzi wao kama wale ambao wanajijua ni wazuri, wamesoma na wana kazi zao. Yaani baadhi yao wamekuwa na nyodo zisizokuwa na maana kwa wanaume na wakati mwingine kwa wanawake wenzao.


Wanawake hawa wapo huko mtaani na wewe unayesoma hapa utakuwa ni shahidi. Yaani wanajiona wao ndiyo wao na hata kupokea salam wanachagua wa kuwapokelea. Kwa kifupi wanajiona ni keki.Baadhi ya hawa ndiyo ambao wamekuwa wakiwatesa wapenzi wao wakiamini kwamba hata wakiachwa, hawawezi kupata tabu kutokana na usumbufu wanaoupata kutoka kwa wanaume wengine nje. Wanaringia kazi zao, wanaringia uzuri wao bila kujua kwamba, mapenzi nayo yana sehemu kubwa katika maisha yao, wengine hawajui hivyo ndiyo maana wanafikia hatua ya kuutumia uzuri wao na kazi zao vibaya.


Sasa hili ni tatizo ambalo linaweza kuyatingisha maisha ya wanaume endapo hawatakuwa makini katika kuchagua wenza sahihi. Unapotaka kuoa, ni vyema ukajiuliza kwanza kama huyo uliyenaye anakupenda kwa dhati, achilia mbali kazi yake na uzuri wake.Nasisitiza katika hili kwa sababu wakati mwingine nahisi ni heri kuoa mwanamke wa kawaida, asiye na kazi lakini mwenye mapenzi ya dhati ili kujihakikishia amani katika moyo wako.


Asikudanganye mtu kuna wanaume wana fedha zao lakini maisha yao yamekuwa ni ya mateso kutoka kwa wake zao. Hawana sauti kwa wake zao. Wake zao hao wamekuwa ni viburi, wasiopenda kukosolewa, kuelekezwa wala kuulizwa jambo lolote na ikitokea hivyo watakuwa wakali na wakati mwingine kutishia kuvunja uhusiano.


Sasa utawezaje kuishi na mwanamke wa dizaini hii? Si unaweza kujikuta unaumwa vidonda vya tumbo bila sababu?Ifike wakati tutambue kuwa, mapenzi yanaathiri kwa kiasi kikubwa maisha yetu hivyo tufanye maamuzi sahihi inapofika wakati wa kuchugua mtu wa kuwa naye katika maisha.Leo nilitaka kusema hilo tu.


habari kwa msaada wa grobal publishers.info

HIVI KWELI HIYO 50% KWA 50% WATAIPATA KWELI??

Madada zetu sasa mnazidisha, hivi huu uvaaji unaweza kweli ukawaletea hiyo asilimia 50 kwa 50 mnayoililia kila siku bungeni? kwa mavazi haya kweli?? mi nadhani bado inabidi mjipange upya......

HII NI LOSHORO KUDA DEKI!!


Hiki ni chakula maarufu sana kwa kabila la wameru wanaopatikana huku Arusha na hata wamasai, huu ni mchanganyiko wa mahindi yaliyopikwa kama kande na maziwa mgando. Duh!! mzee nilijaribu ila duh kazi ilinishinda ila ni kitamu sana.......

PASAKA HII WEE ACHA TU!!!

Watoto kama hawa hawakuwa nyuma kujiachia na msosi wa kumwaga kabla ya kwenda disco toto.............


mh!! nawe umo kweli hakuna kuremba kwenye kula aiseee mdada akikamata kitu cha pwani!!!


jeshi langu nalo halikua mbali manake kwa kula tu hawa hawajambo.........ni dogo 2ndu mwenye nyekundu, david na dick aliyechuchumaa.....


Dogo David a.k.a mgumu hakua nyuma kukamata tonge kwa jpili siku muhim sana kwa Jesus kufufuka.

Dick aki show luv na msosi wake.........