KARIBU MDAU WANGU
WAUAJI WA YANGA HAWA HAPA!!
Kikosi cha Lupopo kilichoiadhiri Yanga kwenye uwanja wa Taifa. Matumaini ya Yanga kusonga mbele kwenye ligi ya mabingwa ni finyu mno kwani inahitaji kushinda mabao 2-0 ugenini baada ya kukubali kipigo cha mabao 3-2 Dar es Salaam
‹
›
Home
View web version